• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

Wanufaika TASAF Watakiwa Kujikwamua Kiuchumi Kupitia Shughuli za Maendeleo.

Imewekwa: November 11th, 2021
Na Stephen Jackson, Kongwa.

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi, amewataka wanufaika wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF kutumia fedha wanazopewa kuinua kipato na kuboresha Maisha yao badala ya kuzitumia kwa anasa.“Fedha hizo mnazozipata kupitia TASAF sio za kufanyia anasa bali zinatakiwa zitumike katika masuala ya maendeleo ili kufikia malengo yaliyokusudiwa na Serikali ya kuboresha maisha yenu,” Alisema Mhe. Ndejembi.

Mheshimiwa Ndejembi amesema hayo wakati alipokuwa akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Ugogoni katika Kata ya Ugogoni Wilayani Kongwa Novemba 10, 2021.  

Katika hotuba yake alieleza kuwa Serikali ya awamu ya Sita imeamua kuingiza vijiji vyote kwenye mpango wa TASAF ili kuinua hali ya Maisha ya wananchi. Aidha, ametoa rai kwa wanufaika wa TASAF kuzitumia Fedha wanazozipata kufanyia shughuli zinazolenga kuwaongezea kipato kama vile kilimo na ufugaji wa kisasa.

Kufuatia hotuba hiyo,  Mratibu wa TASAF Wilayani Kongwa, Ndugu Elias Chilemu, alitolea ufafanuzi kuwa wanufaika wasiohakikiwa na kupelekea kukosa malipo kwa awamu mbili mfululizo mfumo wa malipo unaweza kuwaondoa, hivyo ili kurejeshwa kwenye malipo hayo wanaweza kuhakikiwa na pia kujaza fomu maalumu za madai.

TASAF Wilaya ya Kongwa inahudumia jumla ya kaya 7,821 ambapo kati yake kaya 170 hazikuhakikiwa katika zoezi la uhakiki la Mwezi Agosti, 2020 kwa sababu mbalimbali zikiwemo kuhama katika maeneo ya utekelezaji na wengine kutohudhuria katika zoezi hilo kwa sababu mbalimbali.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Mhe. Remidius Mwema Emmanuel amemuhakikishia kusimamia kikamilifu utekelezaji wa mradi wa TASAF katika vijiji vyote themanini na saba (87) vya Wilaya ya Kongwa kwa ufanisi.

Kwa mujibu wa Taarifa iliyowasilishwa kwa Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deogratius Ndejembi, Uongozi wa Wilaya ya Kongwa umetoa shukrani za dhati kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan na Serikali yake ya Awamu ya sita kwa kutoa ruzuku ya kiasi cha Tsh 10,023,792,911.08 kama ruzuku ya kutimiza masharti ya afya na elimu pamoja na mradi wa Timiza Malengo, kupitia TASAF III.

Matangazo

  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • TANGAZO LA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 16, 2024
  • Tangazo la nafasi za ajira za mkataba October 07, 2024
  • Tangazo la kufunguliwa kwa dirisha la utoaji mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu- Oktoba 1 2024 October 02, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • VIKUNDI VYASISITIZWA KUWA NA USHIRIKIANO MZURI NA VIONGOZI PAMOJA NA WATAALAM

    May 05, 2025
  • VIKUNDI 21 VYAKABIDHIWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YA HALMASHAURI

    April 28, 2025
  • DC MAYEKA AKABIDHI MISAADA

    April 27, 2025
  • ZIARA YA MAKAMU MWENYEKITI WA CCM TAIFA MHE. WASIRA WILAYANI KONGWA.

    April 25, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.