• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

Programu ya Kisiki Hai Yazinduliwa Mkoani Dodoma

Imewekwa: December 19th, 2017

Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Mhe. Deogratius Ndejembi azindua rasmi Programu ya Kisiki Hai Mkoa wa Dodoma; Uzinduzi huo umefanyika katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa tarehe 19 Novemba, 2017. 

Mkurugenzi wa Mradi ameeleza kwamba engo kuu la Mradi ni kuikomboa ardhi iliyochakaa ya mashamba na malisho izalishe chakula na malisho kwa wingi ili kupambana na baa la njaa na mabadiliko ya tabianchi; Aidha, Programu hii imelenga kukomboa mazingira kwa kutumia njia ya Kisiki Hai (FMNR-Farmer Managed Natural Regeneration) na njia zingine ikiwemo ya uvunaji wa maji. Awamu ya kwanza ya Programu hii inahusisha vijiji vyote vya Tarafa mbili za Kongwa na Mlali kwa Wilaya ya Kongwa, kuanzia mwezi huu wa Desemba, 2017. Pia, Programu inaunga mkono kwa 100% kampeni ya Wilaya ya Kongwa ya ONJAKO (Ondoa Njaa Kongwa) inayo ongozwa na Mhe. Mkuu wa Wilaya. 

Programu hii ni ya miaka kitatu (2017 hadi 2020) na itatekelezwa katika Wilaya zote za Mkoa wa Dodoma ikiwa na malengo ya fuatao hadi kufikia kilele chake:

  1. Kuwezesha Kaya 180,000 za Mkoa wa Dodoma (50% ya kaya zote);
  2. Kukomboa hekta 180,000 kwa kutumia njia ya Kisiki Hai na uvunaji wa maji;
  3. Kustawisha miti 14,000,000 kwa njia ya Kisiki Hai na uvunaji wa maji;
  4. Kuboresha maisha ya watu na kinga dhidi ya mabadiliko ya tabianchi.

Katika Uzinduzi huu  Warsha ya siku moja  kwa wadau muhimu wa mazingira katika Wilaya ya Kongwa imefanyika, ambayo imehusisha viongozi wa Serikali kutoka  Ofisi ya Mkuu wa Wilaya,  Ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa, Mashirika ya Dini, Asasi za Kiraia, Waandishi wa Habari, pamoja na Madiwani na Maafisa Watendaji wa Kata zote za Tarafa za Kongwa na Mlali. Katika warsha washiriki wamefundishwa namna ya kutumia mbinu mbalimbali katika kuendeleza visiki hai ili kuvifanya kumea vizuri na kutengeneza miti mipya na hatimaye wananchi wa Wilaya ya Kongwa waweze kupata faida zake kwa kutunza mazingira. Maazimio ya utekelezaji wa mikakati mbalimbai iliyokubaliwa imepitishwa ambapo baada ya miezi sita (6) kuanzia mwezi huu Desemba, 2017 Kongwa inatarajia kupata mabadiliko ya kijani - kwani elimu kuhusu mbinu za kuendeleza visiki hai itatolewa kwa wanachi waliopo maeneo ya mradi na wilaya nzima kwa ujumla.

Kauli mbiu ya Programu ni “KISIKI HAI-MKOMBOZI WA MAZINGIRA!”

PROGRAM YA KISIKI HAI BISH.pdf



Matangazo

  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • TANGAZO LA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 16, 2024
  • Tangazo la nafasi za ajira za mkataba October 07, 2024
  • Tangazo la kufunguliwa kwa dirisha la utoaji mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu- Oktoba 1 2024 October 02, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • MGOGORO WA MPAKA CHIGWINGWILI - HOGORO KUTAFUTIWA UFUMBUZI.

    May 08, 2025
  • VIKUNDI VYASISITIZWA KUWA NA USHIRIKIANO MZURI NA VIONGOZI PAMOJA NA WATAALAM

    May 05, 2025
  • VIKUNDI 21 VYAKABIDHIWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YA HALMASHAURI

    April 28, 2025
  • DC MAYEKA AKABIDHI MISAADA

    April 27, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.