• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

Wananchi watakiwa kufichua vitendo vya Rushwa na Ubadhirifu

Imewekwa: March 27th, 2022

Na Stephen Jackson, Kongwa.

Kamanda wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) wilaya ya Kongwa Bwana. Cosmas Shauri, amewataka wananchi kufichua Vitendo vya Rushwa na Ubadhirifu  wa fedha za umma vinavyoweza kufanywa na Viongozi wasiokuwa waadilifu.

Kamanda Shauri ameyasema hayo wakati akitoa semina kwa waumini wa Kanisa Katholiki, Parokia ya Hembahemba iliyopo Kata ya Njoge Wilayani Kongwa, Jimbo kuu la Dodoma muda mfupi baada ya kumalizika kwa Ibada ya Misa ya Jumapili.

Akirejea maandiko ya vitabu vya dini pamoja na mifano mbalimbali Kamanda Shauri amefafanua kuwa kupokea Rushwa ni kupofusha macho ya mwenye akili, na hivyo amewaasa waumini hao kutofumbia macho vitendo vya ubadhilifu kwani madhara yake ni kukosekana kwa huduma bora kwa wananchi.

Akiuliza swali kwa niaba ya Waumini, wa Kanisa hilo, Paroko Kitamboya alitaka kufahamu ni kwa jinsi gani mwananchi mnyonge anaweza kushughulika na watu wenye nguvu kiuchumi na Kimamlaka.

Akijibu swali Hilo Kamanda Shauri amesema, Jukumu la mwananchi ni kutoa taarifa, na TAKUKURU itafanya uchunguzi na kuchukua hatua stahiki huku ikihakikisha Usalama kwa upande wa mtoa Taarifa.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Walei Parokia ya Hembahemba Bwana Onesmo Mdamu, ameeleza kuwa waumini wameyapokea vizuri mafundisho hayo na yamekuwa msingi ndani ya Maisha yao kwa ajili ya kutoa taarifa juu ya mambo yenye viashiria vya rushwa katika Mamlaka husika kwa ajili ya hatua zaidi.

Ziara hiyo ya Kamanda wa TAKUKURU katika parokia ya Mtakatifu Luka Mwinjili, ni Mwaliko wa Kiongozi wa Parokia hiyo Paroko Gideoni Kitamboya.

Matangazo

  • Fomu ya Maelekezo ya kujiunga na shule ya Sekondari ya Wasichana Kibaigwa. May 18, 2022
  • Tangazo la Ajira za kudumu kwa nafasi za Afisa Mtendaji Daraja III, na Dereva daraja la II May 24, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 09, 2021
  • Matokeo Darasa la Saba 2021 kwa Shule za Kongwa October 30, 2021
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • ’Wanafunzi wa Madarasa ya Mitihani wapunguziwe shughuli za nyumbani’’ RC Mtaka.

    May 08, 2022
  • Watanzania watakiwa kutambua na kuthamini historia ya Wapigania Uhuru katika Eneo la Kongwa

    April 03, 2022
  • Wananchi watakiwa kufichua vitendo vya Rushwa na Ubadhirifu

    March 27, 2022
  • Serikali ya Namibia yawapa faraja Akinamama waliopoteza watoto wao baada ya wapigania Uhuru.

    March 02, 2022
  • Tazama Yote

Video

Mwarobaini wa Mawasiliano NHC Kongwa Wapatikana
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)
  • Bunge la Tanzania

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 737 798 222

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.