• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

SEKTA YA KILIMO YAJA NA MKAKATI KUONDOA MAKANJANJA.

Imewekwa: July 16th, 2025

Na Bernadetha Mwakilabi

Habari – Kongwa DC

Wizara ya kilimo imedhamiria kuwaondoa makanjanja katika sekta ya kilimo kwa kuanza kuwasajili maafisa ugani wa Serikali na wale ambao hawajaajiriwa kwa kuwaingiza kwenye mfumo ambao mkulima atakuwa nao kwenye simu kuwasiliana na afisa ugani moja kwa moja.

Hayo yameelezwa na Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe (Mb) alipokuwa akiongea na wananchi wa Kata ya Mtanana Wilayani Kongwa Mkoani Dodoma katika uzinduzi wa kampeni ya Mali Shambani na uzinduzi wa mfumo wa huduma za ugani kiganjani (ugani kidigiti) yenye lengo la kuwatambua wakulima na kuwawezesha kupata taarifa za kilimo kupitia vyombo vya habari na mifumo ya kidigitali.

Mhe. Bashe ameeleza kuwa teknolojia hiyo itamsaidia mkulima kupitia simu yake ya mkononi kupata taarifa zote kuanzia hatua za awali za kilimo mpaka kupeleka mazao sokoni kutoka kwa afisa ugani aliyesajiliwa na kuthibitishwa.

Aidha Mhe. Bashe ameongeza kuwa taarifa njema kwa wakulima ni kwamba Serikali imeagiza vifaa vyenye thamani ya dola milioni 10 kuweka katika kitupo cha Taifa cha zana za kilimo vitakavyomuondolea mkulima adha ya kusafisha na kusawazisha mashamba.

Vilevile Mhe. Bashe ametumia jukwaa hilo kuwataarifu wakulima kuwa watakaponunua mbaazi kupitia mfumo wa stakabadhi ghalani katika Wilaya ya Kongwa utakuwa tofauti kwani watasajiliwa na kupewa kibali cha kwenda popote kuuza mazao yao.

Nae Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Jimbo la Kongwa, Mhe. Job Ndugai ameunga mkono juhudi za serikali kupitia Wizara ya kilimo kwa kuleta mfumo huo wa kidigitali wa kuwasaidia wakulima kuwasiliana na wataalam wa kilimo na kuongeza kuwa mfumo huo utasaidia kuwaondoa maafisa ugani waliokuwa hawatimizi majuku yao licha ya kulipwa mishahara mikubwa.

Akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Mhe. Mayeka Simon Mayeka amewataka wananchi hususani vijana kutumia fursa za kilimo kwa ajili ya kujiinua kiuchumi.

Matangazo

  • Tangazo la nafasi ya kazi June 13, 2025
  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • TANGAZO LA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 16, 2024
  • Tangazo la nafasi za ajira za mkataba October 07, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • ECOKAZI WATOA MAFUNZO KUHUSU BIASHARA YA KABONI

    July 24, 2025
  • WASIMAMIZI WA AFYA WANOLEWA UDHIBITI NA UTENGANISHAJI TAZIHA.

    July 23, 2025
  • MWENYEKITI KIJIJI CHA MLANJE ARUDISHWA MADARAKANI.

    July 21, 2025
  • DED KONGWA APONGWEZWA UTOAJI MIKOPO 10%.

    July 18, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.