• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

Serikali kuboresha Ranchi za Taifa

Imewekwa: April 27th, 2023

Na Stephen Jackson, Kongwa DC

Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe Abdalah Hamis Ulega amesema Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi inaendelea na Maboresho katika Ranchi za Taifa ikiwemo NARCO KONGWA ili kutayarisha matajiri wanaotokana na Sekta ya Mifugo.

Mhe. Ulega amesema hayo Aprili 27 2023, alipotembelea Ranch ya NARCO KONGWA kwa lengo la kuzinduaa vifaa vya kisasa vya kuchakata malisho ya Mifugo.

Taarifa ya Meneja wa Ranch Bwana. Elisa Binamungu kwa waziri wa Mifugo inaeleza kuwa kiasi cha shilingi Bil. 4.65 kilitengwa kwa mwaka wa fedha 2022/2023 kwa ajili ya Maboresho ya Ranchi ikiwa ni pamoja na uhimilishaji wa Mifugo, kutengeneza barabara ndani ya eneo la ranchi, na kuondoa vichaka jumla ya  hekta 8000 kwa ajili ya kustawisha Malisho ya Mifugo.

Akizungumza na vyombo vya habari, Mkurugenzi wa ranchi  Prof. Peter Msoffe amesema, kwa sasa ranchi imepokea ng'ombe wazalishaji 1000 ambapo kati yao majike ni 800 na madume 200 lengo likiwa ni kufikia malengo la kuongeza uuchakataji na usafirishaji wa nyama nje ya Nchi kutoka Tani elfu 17 hadi 50 nakuendelea.

Katika ziara yake Mhe. Ulega amezindua vifaa vya kisasa vya uchakataji wa malisho ya mifugo yakiwemo matrekta manne na mashine mbalimbali na hatimaye kuzungumza na wafugaji wenye vitalu katika ranchi hiyo.

Sambamba na hayo amezindua pia zoezi la  uvunaji wa nyasi litakalodumu hadi Julai, 2023.

Aidha Mhe. Ulega ameridhia kujengwa Kwa kituo mahsusi cha kuuzia nyama katika eneo la njiapanda ya NARCO, Wazo lililowasilishwa na Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Mhe. Remidius Mwema Emmanuel.

Akizungumza kwa niaba ya wananchi Diwani kata ya Mtanana Mhe. Joel Mussa ameshauri Serikali kuwa na mpango kazi wa kuwakopesha ng'ombe bora wananchi walio ndani na nje ya ranchi ili kuboresha hali ya mifugo.

Matangazo

  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • TANGAZO LA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 16, 2024
  • Tangazo la nafasi za ajira za mkataba October 07, 2024
  • Tangazo la kufunguliwa kwa dirisha la utoaji mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu- Oktoba 1 2024 October 02, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • VIKUNDI VYASISITIZWA KUWA NA USHIRIKIANO MZURI NA VIONGOZI PAMOJA NA WATAALAM

    May 05, 2025
  • VIKUNDI 21 VYAKABIDHIWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YA HALMASHAURI

    April 28, 2025
  • DC MAYEKA AKABIDHI MISAADA

    April 27, 2025
  • ZIARA YA MAKAMU MWENYEKITI WA CCM TAIFA MHE. WASIRA WILAYANI KONGWA.

    April 25, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.