• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

Ushirikiano ni muhimu, ujenzi wa Madarasa.

Imewekwa: October 11th, 2022

Viongozi, wananchi na wadau mbalimbali wametakiwa kushirikiana Ili kufanikisha ujenzi wa Madarasa 70 kupitia fedha shilingi bilioni Moja na milioni mianne kutoka serikali kuu.

Hayo yamebainika katika kikao Cha tathmini ya ujenzi wa Madarasa hayo, kilichofanyika Oktoba 9, 2022 katika ukumbi wa VETA Kongwa ambapo Mkuu wa Wilaya Mhe. Remidius Mwema Emmanuel alikuwa mgeni Rasmi.

Aidha Mhe. Mwema amewataka watendaji wa vijiji na kata kuwashirikisha wananchi na wataalam katika kila hatua za ujenzi ili kuepuka malalamiko na changamoto za kujenga majengo chini ya kiwango.

Akizungumza wakati wa kikao, Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya Kongwa Mhe. White Zuberi Mwanzalila, amewataka walimu wakuu kushirikiana na kamati za ujenzi kufanya Kazi ili ujenzi ufanyike kwa wakati uliopangwa.

Akiunga mkono ushirikiano huo, Mkuu wa Idara ya Utumishi na Utawala wilaya ya  Kongwa Ndugu Fortunatus Mabula ametaja ushirikiano kama mbinu muhimu ya Kufanikisha ujenzi. Amesema kuwa ushirikishwaji wa pamoja wa taarifa utachochea ujenzi bora na wa haraka wa madarasa hayo.

Naye Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi CCM wilaya ndugu Musa Abdi amepongeza jitihada za serekali za kutoa fedha kwaajili ya ujenzi wa Madarasa.

Akitoa rai katika hafla hiyo mshauri wa jeshi la akiba wilaya Meja Henry Mwakipesile amesema msingi mkubwa ni uzalendo kwani madarasa hayo ni kwaajili ya watoto wetu na lazima hatua kali zichukuliwe kuhakikisha ujenzi unakamilika.

Naye Mkuu wa Gereza la Kongwa SP Tekla Ngilangwa, ameiomba halmashauri kuendelea kuiamini ofisi yake kwa kuwapa nafasi wafungwa kujenga madarasa hayo.

Serikali imetoka Tsh 1,400,000,000.00 kwaajili ya ujenzi wa madarasa 70 ya shule za Sekondari wilayani Kongwa ambapo kila darasa litagharimu Tsh 20,000,000.00 hii itasaidia kutatua changamoto za miundombinu ya elimu, ambapo madarasa hayo yanatarajiwa kukamilika ifikapo Novemba 30 mwaka 2022

Kwa Mujibu wa agizo la  Mheshimiwa Mwema, ujenzi huo unatakiwa kuanza ndani ya wiki moja kuanzia sasa.



Matangazo

  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • TANGAZO LA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 16, 2024
  • Tangazo la nafasi za ajira za mkataba October 07, 2024
  • Tangazo la kufunguliwa kwa dirisha la utoaji mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu- Oktoba 1 2024 October 02, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • MGOGORO WA MPAKA CHIGWINGWILI - HOGORO KUTAFUTIWA UFUMBUZI.

    May 08, 2025
  • VIKUNDI VYASISITIZWA KUWA NA USHIRIKIANO MZURI NA VIONGOZI PAMOJA NA WATAALAM

    May 05, 2025
  • VIKUNDI 21 VYAKABIDHIWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YA HALMASHAURI

    April 28, 2025
  • DC MAYEKA AKABIDHI MISAADA

    April 27, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.