• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

Shule ya Msingi Kongwa yapokea msaada wa Samani.

Imewekwa: February 19th, 2024

Na Mwandishi Wetu, Kongwa DC

Shule ya Msingi Kongwa imepokea msaada wa samani za shule wenye thamani ya shilingi 6,520,000/= kutoka kwa wadau wa elimu wa kanisa la kiinjili la kilutheri la Ujerumani Februari 19, 2024.

Msaada huo umetolewa na Familia ya Bwana Joachim Grtzyk raia wa ujerumani ambaye ni Mwenyekiti wa kamati ya uhusiano wa kanisa la ELC nchini  Ujerumani na Tanzania alipotembelea kanisa rafiki la KKKT Kongwa na hakuunganishwa na shule hiyo.

Joachim alinukuliwa akisema, yeye na mke wake bi. Elsbeth walianza urafiki na shule hiyo tangu mwaka 1992 na wamekuwa wakiguswa na changamoto za kielimu kwa shule hiyo, ikiwemo wanafunzi kukaa chini, hivyo wamekuwa wakisaidia kwa kiasi fulani licha ya kuwa hawana uwezo mkubwa. 

Akiwasilisha taatifa katika hafla ya makabidhiano ya msaada huo, Beatrice Mbijima, Mwalimu mkuu msaidizi wa wa shule hiyo alisema, jumla ya madawati 60, viti 21, meza 5, na  kiti kimoja kwa ajili ya Mwalimu mkuu vimepatikana kutokana na mchango wa wahisani hao wa shilingi 6,520,000/= zilizopokelewa kupitia Dinari ya Mpwapwa.

Taarifa ya shule inabainisha kuwa, msaada uliotolewa utasaidia kupunguza adha ya wanafunzi kukaa chini na kuondoa dosari ya upungufu wa viti na meza za walimu.

Akipokea msaada huo kwa niaba ya Mkurugenzi wa Halmashauri Dkt. Omary Nkullo, Afisa utumishi Bwana  Evodius Rugainunura Rugeiyamu aliwashukuru wadau hao kwa uamuzi wao wa kuisaidia serikali kutatua changamoto katika utoaji wa huduma za jamii na kwamba serikali inathamini sana jitihada hizo.

Akizungumza kwa niaba ya Shule, Mwalimu mkuu wa shule hiyo Bwana Gabriel Wilson  Mgohachi alitoa shukrani za dhati kwa shule hiyo na kuwaomba wahisani hao wasichoke kuisaidia shule, kwani bado inakabiliwa na changamoto mbalimbali.

Hafla hiyo ilihudhuriwa na uongozi mzima wa shule, Walimu na kamati ya shule, Mgeni rasmu akiwa ni Mkurugenzi wa Halmashauri aliyewakilishwa na ndugu Evodius Rugeiyamu aliyeongozana na Mwakilishi wa Afisa Elimu Msingi mwalimu Jane Lutego huku wadau hao wakiambatana na viongozi wa kanisa la KKKT Kongwa.

Matangazo

  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • TANGAZO LA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 16, 2024
  • Tangazo la nafasi za ajira za mkataba October 07, 2024
  • Tangazo la kufunguliwa kwa dirisha la utoaji mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu- Oktoba 1 2024 October 02, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • VIKUNDI VYASISITIZWA KUWA NA USHIRIKIANO MZURI NA VIONGOZI PAMOJA NA WATAALAM

    May 05, 2025
  • VIKUNDI 21 VYAKABIDHIWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YA HALMASHAURI

    April 28, 2025
  • DC MAYEKA AKABIDHI MISAADA

    April 27, 2025
  • ZIARA YA MAKAMU MWENYEKITI WA CCM TAIFA MHE. WASIRA WILAYANI KONGWA.

    April 25, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.