• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

Timu ya Michezo ya Halmashauri ya Kongwa Yarejea Kutoka Manyoni

Imewekwa: August 29th, 2021

Timu ya wanamichezo watumishi ya Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa imefanya ziara ya michezo ya kirafiki Wilayani Manyoni, Mkoani Singida na kurejea salama.

Ziara hii imeanza tarehe 28 Agosti na kukamilika leo tarehe 29 Agosti, 2021 ambapo ikiwa  Wilayani Manyoni imeshiriki michezo 3 ya kirafiki na kupoteza michezo yote. Katika mchezo wa mpira wa miguu timu ya Manyoni iliibuka na ushindi wa goli 2 kwa 1. Kwa upande wa mchezo wa wavu, timu ya Manyoni imepata seti 2 na Kongwa seti 1   na katika mpira wa pete timu ya Manyoni pia iliibuka kidedea kwa goli 11 kwa 8.

Afisa Michezo wa Wilaya ya Kongwa, Bw. Kelvin Msumule ameeleza kwamba sababu ya timu za Wilaya yake kupoteza michezo hii ni kutokana na timu kusimima kwa muda mrefu bila ya kufanya mazoezi ya pamoja wakati wa shughuli za maandalizi ya Mbio za Mwenge 2021 na janga la Uviko 19. Hata hivyo, amesema kwamba sasa wamejipanga na wanarudi upya, hivyo timu yeyote itakayopita mbele yao ijiangalie sana na sasa wanajipanga kufanya ziara Wilayani Karatu, Arusha na Mkoani Morogoro.

Matangazo

  • Kuitwa kazini Ajira za muda, Sensa ya watu na Makazi 2022. July 27, 2022
  • Tangazo muhimu kuhusu mabadiliko ya ratiba ya Mafunzo - Sensa 2022 July 29, 2022
  • Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili wa Waombaji wa Kazi ya Kukusanya Taarifa za Anwani za Makazi na Postikodi Wilaya ya Kongwa March 11, 2022
  • Kuitwa kazini kwenye zoezi la ukusanyaji wa anwani za makazi na postikodi March 16, 2022
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • SERIKALI YAPONGEZWA UJENZI WA MIRADI YA MAJI

    August 14, 2022
  • DC Kongwa ahimiza wafanya biashara kulipa Kodi.

    August 12, 2022
  • Viongozi wa Kata na Vijiji watakiwa kusaidia wajasiriamali kwenye maeneo yao

    August 11, 2022
  • Viongozi wa Kata na Vijiji watakiwa kusaidia Vikundi kwenye maeneo yao

    August 11, 2022
  • Tazama Yote

Video

Mikopo ya 10% ukombozi kwa wajasiriamali
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)
  • Bunge la Tanzania

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 737 798 222

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.