• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

Tovuti za Mikoa na Halmashauri zitoe taarifa kwa wakati.

Imewekwa: March 27th, 2017

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) Mhe.George Simbachawene amezitaka Sekretarietiza Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kuwawezesha Maafisa Habari waliopochini ya Ofisi zao kutekeleza majukumu yao kwa wakati na haraka ili kuendana nakasi ya ukuaji wa kiteknolojia na kupashana habari ili kuwaletea Wananchimaendeleo. 

Mheshimiwa Simbachawene ameyasema hayo mjini Dodoma, wakati akizindua tovuti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa ambazozitatumika katika uwasilishaji wa habari na taarifa muhimu kwa Wananchi. 

"Nawaagiza Wakuu wa Mikoa wote kuhakikisha Maafisa Habari katika Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa wanawanunulia vifaa hivi muhimu kama kamera, mtandao wa kompyuta, kompyuta na vinginevyo vya kufanyiakazi hizi muhimu ndani ya miezi mitatu kuanzia sasa na kwa gharama ya ofisi ili waweze kuwapatia Wananchi taarifa, ikiwa ni haki yao ya msingi ya kupatataarifa," alisema Mhe.Simbachawene. 

Mhe.George Simbachawene amesema, kwa kuwa Tanzania iliweka saini Azimio la 'Open Government Partnership' mwaka 2011, kuweka uwazi wa shughuli za Serikali kwa Wananchi, ikiwa na lengo la kuimarisha Utawala Bora, kuondoa rushwa na kujenga imani kwa Wananchi wake na Azimio linaweka msisitizo kwa Wananchi kupata taarifa kwa wakati na uhuru zaidi. 

Aidha, Mhe.Simbachawene amewataka Maafisa Habari wa Mikoa na Halmashauri kuhakikisha kwamba tovuti zao zinakuwa na taarifasahihi na za kutosha na zinatolewa kwa wakati. 

Pia, amewataka Watendaji katika Mikoa na mamlakaza Serikali za Mitaa kuondoa urasimu katika kutoa taarifa. "Lazima taarifa zitolewe kwa wakati ili tovuti hizi zitumike kweli kwa malengo yaliyokusudiwa," alisisitiza Mheshimiwa Simbachawene. 

Waziri Simbachawene aliwashukuru Watu wa Marekani kupitia Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani USAID kwa kuwezesha Mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma  (PS3) ambao kupitia ufadhili huo umeweza kuendesha mafunzo ya utengenezaji wa tovuti hizo. 

Kwa upande wake Waziri wa Habari, Sanaa,Utamaduni na Michezo, Mhe. Dkt.Harrison Mwakyembe aliwataka Maafisa Habari kutowaangusha Wananchi katika kuwapa taarifa pasipo urasimu wowote. 

Waziri Mwakyembe amewataka Maafisa Habari kuhakikisha kuwa tovuti hizo zisigeuke kuwa magofu ya habari bali majokofu kwa kupata habari mpya kila siku. 

Katika mafunzo hayo, Maafisa habari, na MaafisaTehama kutoka Halmashauri 185 na Mikoa 26 walishiriki Mafunzo hayo na kufundishwa namna ya kuandaa taarifa mbalimbali katika tovuti zao. 

Matangazo

  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • TANGAZO LA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 16, 2024
  • Tangazo la nafasi za ajira za mkataba October 07, 2024
  • Tangazo la kufunguliwa kwa dirisha la utoaji mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu- Oktoba 1 2024 October 02, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • MGOGORO WA MPAKA CHIGWINGWILI - HOGORO KUTAFUTIWA UFUMBUZI.

    May 08, 2025
  • VIKUNDI VYASISITIZWA KUWA NA USHIRIKIANO MZURI NA VIONGOZI PAMOJA NA WATAALAM

    May 05, 2025
  • VIKUNDI 21 VYAKABIDHIWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YA HALMASHAURI

    April 28, 2025
  • DC MAYEKA AKABIDHI MISAADA

    April 27, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.