• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

Viongozi Kongwa Wajivunia kupata hati safi.

Imewekwa: July 27th, 2023

Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa imepongezwa kwa kupata hati safi kwa mwaka wa Fedha ulioishia Juni, 2022.

Pongezi hizo zimetolewa na Viongozi mbalimbali katika Mkutano wa baraza la Madiwani uliofanyika tarehe 27 Julai, 2023 kupokea na kujadili taarifa za robo ya nne ya Mwaka wa Fedha 2022/2023, nyingi zikielekezwa kwa  Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Dkt. Omary Nkullo na Wakuu wa Divisheni na Vitengo.

Akihutubia baraza hilo, Mkuu wa Wilaya Mhe. Remidius Mwema Emmanuel amesema kitendo Cha Halmashauri kupata hati safi ni Zawadi kubwa Kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan. 

Mhe  Mwema alitoa wito kwa Madiwani kuwa walezi wa wataalamu waliopo katika Maeneo yao wakiwemo Walimu ili kwa pamoja waweze kutokomeza utoro Shuleni kwani pasipo kufanya hivyo hakuna sababu ya kuboresha miundombinu ya shule.

Akizungumza katika hotuba ya Ufunguzi, Mwenyekiti wa baraza hilo Mhe. White Zuberi Mwanzalila alisema Halmashauri hiyo imepata hati safi baada ya ukaguzi wa mdhibiti na mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) jambo alilolitaja kuwa si lelemama.

Aidha katika taarifa ya Mwenyekiti iliyowasilishwa na Mkurugenzi Mtendaji (W) Dkt. Omary A. Nkullo, Katika kipindi hicho Halmashauri iliidhinishiwa kutumia jumla ya shilingi......ambapo iliweza kukusanya asilimia 95% ya mpango wa bajeti.

Kufuatia taarifa hiyo, Kaimu Katibu wa chama cha Mapinduzi (CCM) Bwana Emmanuel Msemwa ameipongeza Halmashauri na kuitaja miongoni mwa Halmashauri zisizo na Migogoro.

Akizungumza kwa niaba  ya Mkuu wa Mkoa wa DodomaAfisa Utumishi ofisi ya Mkoa wa Dodoma Bi. Prisca Lusoli alisema Mkuu wa Mkoa Mhe. Rosemary Senyamule anatoa pongezi kwa Halmashauri kwa kukusanya Mapato kwa asilimia 95% kwa Mwaka wa Fedha ulioishia Juni, 2023 na kutoa Rai Kwa Halmashauri kuongeza jitihada katika ukusanyaji wa Mapato ya ndani na kuhakikisha inazingatia taratibu za matumizi ya fedha ili kuepuka hoja za Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG)

Akitoa maoni yake Bi. Prisca aliwaasa Madiwani kujenga utamaduni wa kuwasiliana na Taasisi mbalimbali zinazotoa huduma Kwa wananchi badala ya kusubiri vikao.

Katika baraza hilo Taasisi mbalimbali ziliwasilisha taarifa za Utekelezaji wa miradi mbalimbali sambamba na kujibu changamoto mbalimbali.



Matangazo

  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • TANGAZO LA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 16, 2024
  • Tangazo la nafasi za ajira za mkataba October 07, 2024
  • Tangazo la kufunguliwa kwa dirisha la utoaji mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu- Oktoba 1 2024 October 02, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • VIKUNDI VYASISITIZWA KUWA NA USHIRIKIANO MZURI NA VIONGOZI PAMOJA NA WATAALAM

    May 05, 2025
  • VIKUNDI 21 VYAKABIDHIWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YA HALMASHAURI

    April 28, 2025
  • DC MAYEKA AKABIDHI MISAADA

    April 27, 2025
  • ZIARA YA MAKAMU MWENYEKITI WA CCM TAIFA MHE. WASIRA WILAYANI KONGWA.

    April 25, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.