• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

Viongozi wabuni mikakati ya kunusuru wanafunzi kushinda na njaa shuleni

Imewekwa: January 22nd, 2024

Na Stephen Jackson, Kongwa DC

Wazazi Wilayani Kongwa wametakiwa kufanya jitihada za makusudi kuhakikisha wanafunzi wanapata chakula shuleni.

Rai hiyo imetolewa na kamati ya lishe Wilaya ya Kongwa wakati wa kikao chake cha kawaida kilichoketi Januari 22, 2024 katika ukumbi wa Hospitali ya Wilaya kikiongozwa na Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri Bwana Fortunatus Mabula.

Wakichangia hoja mbalimbali wajumbe wa kikao hicho kwa pamoja wameshauri ushirikiano uimarishwe baina ya walimu, wazazi na viongozi wa serikali za kata na vijiji ili kufanikisha michango ya chakula shuleni.

Akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Shughuli za lishe, Afisa Lishe Wilaya ya Kongwa Bi. Maria Haule alisema hali ya upatikanaji wa chakula shuleni imepanda kutoka 25% mwaka jana hadi kufikia 75% mwaka huu baada ya jitihada za idara za halmashauri kutenga bajeti ya kununua chakula na kukipeleka shuleni.

Kwa upande wao wadau wa Lishe Wilayani Kongwa, wameeleza jitihada walizochukua kuboreha lishe ambapo Bi. Flora Manyanda wa CUAMM alisema kwa Sasa Wilaya ya Kongwa haina upungufu wa chakula dawa kwa watoto katika vituo vyote vya kutolea huduma, huku akisisitiza wananchi kushiriki katika mikutano ya siku ya Afya na Lishe katika maeneo yao.

Naye Bwana Simon Kutamika, Afisa Miradi World Vision Wilaya ya Kongwa alisema Shirika lake limetumia zaidi ya shilingi milioni saba kufanya tathmini ya hali ya lishe katika kata tatu zenye jumla ya vijiji 10 na itakuja na matokeo hivi karibuni.

Akitilia mkazo taarifa yake, Afisa Elimu ya Awali na Msingi Wilaya Mwl. Margareth Temu alisema ili shule ziweze kuzalisha chakula ni vizuri Serikali za vijiji zitenge maeneo ya mashamba ya shule, kwa kuwa shule nyingi hazina fedha za kukodi mashamba.

Kati ya wanafunzi 103,984 jumla ya wanafunzi 76,973 ndio wanaopata chakula shuleni sawa na 74%

Mwl.Temu aliongeza kuwa Ili huduma ya upatikanaji chakula shuleni iwe endelevu, jamii inapaswa kutambua umuhimu wa kuchangia, sambamba na kujenga uaminifu kwa walimu, ili waweze kuchagia kiasi cha kuwezesha wanafunzi kupata chakula kwa kipindi kirefu.

Itakumbukwa kuwa, katika ziara ya kwanza ya Mhe. Mayeka Simon Mayeka Kata ya Mkoka, Mkuu wa Wilaya ya Kongwa alinukuliwa akisema "Siri ya Ufaulu wa wanafunzi ni kupata chakula shuleni" Mhe. Mayeka alisema.

Hivyo Wazazi wameshauriwa kujenga Imani kwa walimu na kuachana na dhana potofu kuwa walimu wanaweza kupunguza chakula kinachochangwa Kwa ajili ya Wanafunzi.

Matangazo

  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • TANGAZO LA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 16, 2024
  • Tangazo la nafasi za ajira za mkataba October 07, 2024
  • Tangazo la kufunguliwa kwa dirisha la utoaji mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu- Oktoba 1 2024 October 02, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • VIKUNDI VYASISITIZWA KUWA NA USHIRIKIANO MZURI NA VIONGOZI PAMOJA NA WATAALAM

    May 05, 2025
  • VIKUNDI 21 VYAKABIDHIWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YA HALMASHAURI

    April 28, 2025
  • DC MAYEKA AKABIDHI MISAADA

    April 27, 2025
  • ZIARA YA MAKAMU MWENYEKITI WA CCM TAIFA MHE. WASIRA WILAYANI KONGWA.

    April 25, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.