• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

Wafanyakazi wa Halmashauri ya Kongwa wampongeza Mkuu wa Idara ya Utumishi na Utawala Bibi Rosemary Iressa

Imewekwa: June 29th, 2021

Na Stephen Jackson

Wafanyakazi wa Halmashauri ya Kongwa wamempongeza Mkuu wa Idara ya Utumishi na Utawala Bibi. Rosemary Iressa kwa kusimamia zoezi la upandishaji vyeo kwa watumishi wenye sifa katika Idara zote za Halmashauri na kuhamasisha watumishi kujiendeleza kielimu.

Pongezi hizo zimetolewa leo tarehe 29/06/2021 majira ya saa nne Asubuhi wakati wa kikao kazi kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya wilaya ya Kongwa.

Akizungumza katika kikao hicho cha Tathmini ya upandishaji vyeo kwa mwaka 2020/2021 Bibi Iressa ameeleza kuwa Jumla ya watumishi 587 wa Idara mbalimbali wamethibitishwa kupanda vyeo na miongoni mwao, 295 wamepata mshahara mpya na waliobaki wanatarajia kupata mishahara mipya mwezi Julai 2021.

Kiongozi huyo, ametumia muda mwingi kufafanua na kuwaelekeza watumishi namna ya kusimamia haki zao ili kuzipata kwa wakati. Miongoni mwa mambo aliyotilia mkazo ni pamoja na watumishi kujiendeleza kielimu kwa wakati, na kuhakikisha taarifa zao za kiutumishi zinakuwa sahihi kwenye mifumo.

Katika kikao hicho watumishi wamepata fursa ya kuchangia Agenda mbalimbali, kuuliza maswali na kujibiwa kikamilifu.

Ndugu Elias Chilemu ambaye ni Mratibu wa TASAF Wilaya ya Kongwa, yeye amekielezea kikao hicho kuwa ni cha pekee kwa kuwa ni cha kwanza kufanyika katika kipindi cha miaka kumi (10) ya utumishi wake. ‘’Nina miaka kumi sijawahi kuona kikao kama hiki’’ amesema Elias Chilemu.

Kuelekea hitimisho la kikao hicho Mkuu huyo wa Idara ya utumishi na Utawala  ameeleza kuwa Halmashauri ya Kongwa Inatarajia kupokea watumishi 101 wa Ajira mpya wa kada mbalimbali kuanzia tarehe 1 Julai 2021.

Katika kikao hicho mambo mengi ya kiutumishi yamejadiliwa ikiwa ni pamoja na kuichambua hotuba ya Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan aliyoitoa Tarehe 01/05/2021 katika maadhimisho ya siku ya wafanya kazi (Mei mosi).

Matangazo

  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • TANGAZO LA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 16, 2024
  • Tangazo la nafasi za ajira za mkataba October 07, 2024
  • Tangazo la kufunguliwa kwa dirisha la utoaji mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu- Oktoba 1 2024 October 02, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • VIKUNDI VYASISITIZWA KUWA NA USHIRIKIANO MZURI NA VIONGOZI PAMOJA NA WATAALAM

    May 05, 2025
  • VIKUNDI 21 VYAKABIDHIWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YA HALMASHAURI

    April 28, 2025
  • DC MAYEKA AKABIDHI MISAADA

    April 27, 2025
  • ZIARA YA MAKAMU MWENYEKITI WA CCM TAIFA MHE. WASIRA WILAYANI KONGWA.

    April 25, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.