• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

Wajumbe wa Huduma ya Afya ya Msingi wakutana kujadili Kipindupindu.

Imewekwa: October 19th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Mhe. Mayeka S. Mayeka amefanya kikao cha dharura na wajumbe wa huduma ya Afya ya Msingi ili kujadili mlipuko wa kipindipindu Wilayani Kongwa. Kikao hicho kimetokana na ongezeko la wagonjwa ambao wamefika katika vituo vya Afya na makambi ya dharura kwa ajili ya kupatiwa huduma.

Akizungumza wakati akieleza hali ya ugonjwa huo kwa Mkuu wa Wilaya, Mganga Mkuu wa Wilaya ya Kongwa, Dr. Thomas Mchomvu, ameeleza kuwa mpaka wakati wa kikao hicho kumeripotiwa kuwa na wagonjwa 71 na kati ya hao wagonjwa 51 wameshatibiwa na wamepata nafuu na kuruhusiwa. Wagonjwa waliobaki wanaendelea kupata huduma na wataruhusiwa karibuni. Aidha Dkt. Thomas ameeleza kuwa zaidi ya asilimia 95 ya wagonjwa walipata kipindupindu baada ya kuhudhuria mazishi yaliyofanyika tarehe 14 mwezi wa kumi katika Kijiji kinachopatikana Gairo ambapo walikula na kunywa katika msiba huo.

Mganga Mkuu wa Wilaya ya Kongwa, Dr. Thomas Mchomvu akieleza hali ya mlipuko wa Ugonjwa wa Kipindupindu katika Wilaya ya Kongwa.

Mganga Mkuu ameeleza kuwa ili kuthibitisha mlipuko wa ugonjwa kitaalamu ni lazima vifanyike vipimo vya sampuli tofauti na sampuli zote kumi na saba zilibainisha kuwa kuna vimelea vya ugonjwa huo, lakini pia sampuli tatu zilipelekwa Dodoma kwenye hospitali ya rufaa ya Mkoa kwa ajili ya uhakiki zaidi na majibu pia yalitoka kuwa sampuli zina vimelea vya ugonjwa wa kipindupindu.

Aidha Dkt. Thomas ameainisha mbele ya Mkuu wa Wilaya gharama za kupambana na ugonjwa huo kuanzia tarehe 16 mpaka wakati wa kikao, zimeshatumika takribani milioni nane kwa ajili ya vifaa, dawa Pamoja na gharama nyingine za matibabu hayo.


Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Mhe. Mayeka S. Mayeka akiongea na wajumbe wa Huduma ya Afya ya Msingi.

Akiongea kabla ya kuhitimisha kikao, Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Mhe. Mayeka S. Mayeka ametoa maagizo maalumu Pamoja na kutilia mkazo maazimio ya kikao hicho ikiwa ni Pamoja na kusitishwa magulio, sherehe, vigodoro kwa muda wa wiki mbili na katazo la huduma ya vyakula katika misiba na mikutano ya kidini kwa muda wa wiki mbili katika kata nne ambazo zimeathiriwa na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu. Kata hizo ni Mlali, Chamkoroma, Ngh’umbi na Chiwe. Maadhimio mengine ni kusimamia usafi wa vyoo na kuhakikisha kaya zinatumia vyoo, Pamoja na kuhakikisha shule zinasimamia usafi wa vyoo ipasavyo.

Matangazo

  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • TANGAZO LA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 16, 2024
  • Tangazo la nafasi za ajira za mkataba October 07, 2024
  • Tangazo la kufunguliwa kwa dirisha la utoaji mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu- Oktoba 1 2024 October 02, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • MGOGORO WA MPAKA CHIGWINGWILI - HOGORO KUTAFUTIWA UFUMBUZI.

    May 08, 2025
  • VIKUNDI VYASISITIZWA KUWA NA USHIRIKIANO MZURI NA VIONGOZI PAMOJA NA WATAALAM

    May 05, 2025
  • VIKUNDI 21 VYAKABIDHIWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YA HALMASHAURI

    April 28, 2025
  • DC MAYEKA AKABIDHI MISAADA

    April 27, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.