• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

Wakulima watakiwa kujisajili ili kupata ruzuku ya mbolea

Imewekwa: September 11th, 2022

Na Bernadetha Mwakilabi, Kongwa.

Viongozi wa Halmashauri ya wilaya Kongwa wameshauriwa kuweka msisitizo mkubwa kutoa elimu kwa wakulima kujisajili katika ruzuku ya mbolea ili kuisaidia Serikali kupata takwimu ya wakulima na mashamba wanayolima.

Ushauri huo umetolewa na mshauri wa Serikali za mitaa Bwn. Nathalis Linuma kwa madiwani na wataalam mbalimbali katika mkutano wa baraza la madiwani wa robo ya nne ya mwaka 2021-2022 uliojumuisha wananchi.

Amesema kuwa takwimu hiyo itasaidia pia Serikali kujua kiasi gani cha mbolea na mbegu kinahitajika kuwapatia wakulima wake kuwasaidia kulima kilimo Bora cha kisasa na chenye tija kuondokana na janga la njaa.

Pamoja na hayo mshauri huyo amesema kuwa katika kila mikutano ya vijiji viongozi waibue mafanikio mbalimbali yanayotekelezwa na Serikali katika maeneo yao kama miradi ya Afya na elimu pia kutolea ufafanuzi suala la kufuta utoro mashuleni.

Naye mheshimiwa Richard Mwite Diwani wa kata ya Mkoka alipokuwa akichangia hoja ya wimbi kubwa la vijana kujiua kutokana na ugumu wa maisha amevitaka vikundi vilivyokopa fedha za halmashauri za vijana akinamama na walemavu kurudisha kwa wakati fedha hizo ili vikundi vingine vikopeshwe.

Naye Bi Joyce Ibrahim Mkaugala katibu wa chama cha mapinduzi (CCM) wilaya akichangia hoja hiyo amesema kuwa kuna haja kubwa kwa vijana kupewa elimu na ushauri wa kujitambua na kuanzisha fursa nje ya kuajiriwa kwa kuanzisha vikundi mbalimbali vya ufugaji kilimo na Biashara.

Aidha bi. Joyce ameiomba mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) kutoa elimu ya kutosha kwa wananchi katika maeneo yao juu ya mabadiliko ya Sheria ya tozo na umuhimu wa tozo mbalimbali ili kuepusha malalamiko ya wananchi kwa Serikali.

Kwa upande wake mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri Dr Omary Nkullo ameahidi kufanyia kazi mambo yote yaliyoshauriwa na kujadiliwa katika mkutano huo ili kuleta tija kwa wananchi na Serikali kwa maendeleo ya nchi.



Matangazo

  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • TANGAZO LA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 16, 2024
  • Tangazo la nafasi za ajira za mkataba October 07, 2024
  • Tangazo la kufunguliwa kwa dirisha la utoaji mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu- Oktoba 1 2024 October 02, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • MGOGORO WA MPAKA CHIGWINGWILI - HOGORO KUTAFUTIWA UFUMBUZI.

    May 08, 2025
  • VIKUNDI VYASISITIZWA KUWA NA USHIRIKIANO MZURI NA VIONGOZI PAMOJA NA WATAALAM

    May 05, 2025
  • VIKUNDI 21 VYAKABIDHIWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YA HALMASHAURI

    April 28, 2025
  • DC MAYEKA AKABIDHI MISAADA

    April 27, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.