• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

WANANCHI KIBAIGWA WAOMBA UPANUZI WA BARABARA.

Imewekwa: November 2nd, 2024


Wananchi wa Kata ya kibaigwa wameiomba Serikali kupanua barabara katika eneo la katikati ya mji ili kuchochea ufanisi katika ufanyaji wa biashara, kupata egesho zuri la magari hususani malori na kuboresha eneo la gulio hali itakayokuza uchangiaji wa mapato.



Wananchi hao wameyasema hayo mbele ya Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Mhe. Mayeka Simon Mayeka alipotembelea Shule ya Msingi Mzogole iliyopo Kijiji Cha kibaigwa kujionea mradi wa ujenzi wa vyumba vya madarasa na matundu ya vyoo uliotengewa zaidi ya milioni 103, na kuongea na Wananchi wa Kata ya kibaigwa kujua changamoto zinazowakabili na namna ya kuzitatua.


Akijibu hoja za wananchi hao Mhe Mayeka amemuagiza Meneja TANROAD wilaya kuwasiliana na Meneja wa TANROAD mkoa kuona namna ya kushughulikia suala la utanuzi wa barabara iliyopo katikati ya mji wa kibaigwa kwa upande wa kulia na kushoto ili kurahisisha biashara za wananchi.

Vilevile Mhe. Mayeka S. Mayeka amesema suala la ulinzi na usalama ni jukumu la kila Mwananchi, hivyo madereva bodaboda wawe na uongozi unaotambulika ili wasaidiane na polisi kupata wahalifu na vijiwe vyote vya bodaboda vifahamike na visajiliwe. Pia ametoa rai kwa Jeshi la polisi liendelee na doria na wananchi watoe taarifa za matukio ya kihalifu kabla baada yanapotokea.

Aidha Mhe. Mayeka ametolea ufafanuzi suala la changamoto ya mazingira mabovu ya gulio la kibaigwa na kueleza kuwa Serikali ipo kwenye mpango wa kujenga soko kubwa la Machinga litakalokuwa na mazingira mazuri na rafiki kwaajili ya Wafanyabishara wa Kibaigwa.

Mhe. Mayeka pia amewataka Ruwasa Mkoa na Taifa kuangalia viwango vya malipo ya maji kuwa rafiki kwa wananchi kwani mji wa kibaigwa unakua kwa kasi na maji mengi yanahitajika, na kuhusu suala la kupungua Kwa umeme tayari kituo cha umeme kilichopo mbande kitaanza kufanya kazi muda si mrefu na kuondoa adha hiyo.



Kwa upande wake Afisa maendeleo ya Jamii Wilaya ya Kongwa Bi Paskalina Duwe amewataka wanawake vijana na watu wenye Ulemavu kuchangamkia fursa ya mikopo ya vikundi ya 10% za mapato ya Halmashauri na kuwasihi wakazi wa Kibaigwa kuongeza uaminifu katika urejeshaji wa fedha hizo.


Matangazo

  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • TANGAZO LA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 16, 2024
  • Tangazo la nafasi za ajira za mkataba October 07, 2024
  • Tangazo la kufunguliwa kwa dirisha la utoaji mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu- Oktoba 1 2024 October 02, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • VIKUNDI VYASISITIZWA KUWA NA USHIRIKIANO MZURI NA VIONGOZI PAMOJA NA WATAALAM

    May 05, 2025
  • VIKUNDI 21 VYAKABIDHIWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YA HALMASHAURI

    April 28, 2025
  • DC MAYEKA AKABIDHI MISAADA

    April 27, 2025
  • ZIARA YA MAKAMU MWENYEKITI WA CCM TAIFA MHE. WASIRA WILAYANI KONGWA.

    April 25, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.