• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

Wananchi Waitika, Kliniki ya Ardhi - Kibaigwa

Imewekwa: November 8th, 2022

Wakazi wa Mamlaka ya Mji mdogo wa Kibaigwa, wametakiwa kuchangamkia fursa mbalimbali zinazotokana na mikutano ya Kliniki ya Ardhi.

Wito huo umetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Mhe. Remidius Mwema Emmanuel wakati alipokuwa akizungumza na Wakazi wa Kibaigwa kwenye Mkutano maalumu wa Kliniki ya Ardhi unaofanyika kwa muda wa siku mbili katika uwanja wa CCM Kibaigwa.

Mhe. Mwema amesema fursa hiyo imetokana na Maelekezo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, kwamba viongozi watoke ofisini na kuwafuata wananchi kwa ajili ya kuwasikiliza na  kutatua kero zao.

Katika Mkutano huo wataalamu mbalimbali wa Ardhi wakiwemo Kamishna msaidizi Mkoa na timu yake,  kwa kushirikiana na wataalamu wa Ardhi kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa wametoa elimu kuhusu sifa na  mchakato mzima wa kumiliki Ardhi.

Akizungumza na Wananchi hao Kamishna msaidizi wa Ardhi Mkoa wa Dodoma Bwana Thadei Kabonge, amesema ili eneo liweze kusajiliwa na kupatiwa hati ni lazima liwe kwenye mpango wa upimaji ardhi na lisiwe na mgogoro.

Ameongeza kuwa, Ili kurahisisha zoezi la upimaji na utoaji wa hati za viwanja, ni muhimu wananchi kuepuka migogoro ya ardhi, huku akisisitiza suala la Wananchi kuzingatia  matumizi sahihi ya ardhi kwa kutokufanya kitu chochote kwenye ardhi kinachoweza kuwa kero kwa wengine.

Kwa mujibu wa Bwana Kabonge, Umiliki wa Ardhi unaanza pale mwananchi anapomiliki hati ya ardhi husika na si vinginevyo na kwamba eneo la Kibaigwa tayari lipo kwenye mpango wa upimaji ardhi na hivyo hairuhusiwi kujenga pasipo kuwa na kibali cha ujenzi.

Naye Msajili wa Hati Mkoa, bwana Geofrey Mavya, amewaeleza wananchi wa Mji mdogo wa Kibaigwa faida mbalimbali za kuwa na hati miliki ya ardhi ambazo ni pamoja na kutumika kama dhamana ya mali isiyohamishika kwenye baadhi ya mahitaji ya kisheria.

Akitoa Elimu kuhusu majukumu ya ofisi ya Msajili wa Hati bwana Geofrey  Mavya amesema ofisi yake ndiyo yenye dhamana ya  kusajili nyaraka  zote za kisheria.

Nao wananchi mbalimbali waliohudhuria Mkutano huo walipata fursa ya kuwasilisha kero zao kwa njia ya maswali ambayo yalijibiwa na wataalamu husika papo hapo.

Miongoni mwa kero zilizoshughulikiwa ni pamoja na utoaji wa hati kwa wananchi wenye nyaraka hai za viwanja vilivyopimwa, sambamba na uandikishaji wa vitambulisho vya Taifa (NIDA), zoezi ambalo lilichangamkiwa na Idadi kubwa ya wananchi.

Kwa mujibu wa Ofisi ya Vitambulisho vya Taifa Wilaya ya Kongwa hadi kufika Tarehe 8 Novemba 2022, zaidi ya namba za NIDA 12,576 zimetolewa kwa wakazi wa Mji mdogo wa Kibaigwa.



Matangazo

  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • TANGAZO LA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 16, 2024
  • Tangazo la nafasi za ajira za mkataba October 07, 2024
  • Tangazo la kufunguliwa kwa dirisha la utoaji mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu- Oktoba 1 2024 October 02, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • VIKUNDI VYASISITIZWA KUWA NA USHIRIKIANO MZURI NA VIONGOZI PAMOJA NA WATAALAM

    May 05, 2025
  • VIKUNDI 21 VYAKABIDHIWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YA HALMASHAURI

    April 28, 2025
  • DC MAYEKA AKABIDHI MISAADA

    April 27, 2025
  • ZIARA YA MAKAMU MWENYEKITI WA CCM TAIFA MHE. WASIRA WILAYANI KONGWA.

    April 25, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.