• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

WANANCHI WALIA KUTOSHIRIKISHWA.

Imewekwa: February 26th, 2025

Wananchi wa Kijiji cha Njoge kilichopo Kata ya Njoge wamelalamikia uongozi wa Serikali ya Kijiji hicho kwa kuwa na tabia ya kufanya maamuzi bila makubaliano ya Pamoja.

Wananchi hao wameeleza hayo mbele ya Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Mheshimiwa Mayeka Simon Mayeka alipotembelea kijijini hapo ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kikazi kutatua mgogoro wa ardhi Kati ya kijiji cha Njoge na Kijiji cha Lenjulu kilichopo Kata ya Lenjulu.

Wananchi hao wamesema viongozi wapya walioingia madarakani hivi karibuni hawajawahi kufanya mkutano wowote na wananchi na badala yake wamefanya mabadiliko kadhaa bila kuwashirikisha ikiwemo swala la kupandisha bei ya maji tiririka kutoka shilingi 20 hadi shilingi 50 kwa ndoo moja yenye ujazo wa lita 20.

Akijibu hoja hiyo kwa niaba ya meneja wa Ruwasa Wilaya ya Kongwa Bi Provina singenda amesema kuwa suala la bei za Maji kwa sasa zinapangwa na wizara ya Maji ambapo ndoo moja ni shilingi 20 kwa Maji tiririka, shilingi 40 kwa Maji ya visima na shilingi 1,000 kwa Unit moja ya Maji ya majumbani ambapo ni sawa na ndoo 50.

Aidha Bi Singenda ameongeza kuwa katika bajeti ya Mwaka wa fedha 2024/2025 kijiji hicho kitajengewa tenki la Maji la lita 100, 000 hivyo wananchi hao waendelee kuwa na subira maana swala hilo liko katika utatuzi na karibuni changamoto ya upungufu wa Maji iliyopo kwa sasa itapatiwa utatuzi.

Mwenyekiti wa kijiji cha Njoge Bwana Hassan Kalambo amekiri kuwepo kwa malalamiko hayo na ameomba radhi kwa wananchi na kuahidi kuanza kuweka vikao vya mara kwa mara kuzungumzia maswala mbalimbali ya Kijiji na kufikia maamuzi kwa pamoja.

Kwa upande wake mhe. Mayeka amesema kuwa suala la wenyeviti na watendaji wa Vijiji kutokuitisha mikutano kusoma taarifa za mapato na matumizi na kutowashirikisha wananchi juu ya kila kinachojiri ndani ya kijiji ni kosa kisheria n ani Kwenda kinyume na viapo vyao walivyoapa na kutamka kipindi wanaanza kazi na kuwaasa wabadilike.

Baada ya kukaa vikao vya ndani na viongozi wa pande zote mbili za Vijiji vya Njoge na Lenjulu pamoja na mikutano ya hadhara ya wananchi wa Vijiji hivyo, suala la mgogoro wa mpaka wa Vijiji hivyo haukuafikiwa, hivyo viongozi wamekubaliana kupanga siku kufika katika eneo linalogombaniwa kuona mpaka huo na kutoa muafaka ili kumaliza mgogoro huo.

Matangazo

  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • TANGAZO LA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 16, 2024
  • Tangazo la nafasi za ajira za mkataba October 07, 2024
  • Tangazo la kufunguliwa kwa dirisha la utoaji mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu- Oktoba 1 2024 October 02, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • VIKUNDI VYASISITIZWA KUWA NA USHIRIKIANO MZURI NA VIONGOZI PAMOJA NA WATAALAM

    May 05, 2025
  • VIKUNDI 21 VYAKABIDHIWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YA HALMASHAURI

    April 28, 2025
  • DC MAYEKA AKABIDHI MISAADA

    April 27, 2025
  • ZIARA YA MAKAMU MWENYEKITI WA CCM TAIFA MHE. WASIRA WILAYANI KONGWA.

    April 25, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.