• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

Wananchi watakiwa kupuuza upotoshaji chanjo ya UVIKO 19

Imewekwa: July 9th, 2022

Na Stephen Jackson, Kongwa.

Mratibu wa Magonjwa yasiyo ya kuambukiza, Mkoa wa Dodoma, Dkt. Missana Yango amewataka wananchi kupuuza upotoshaji unaofanywa na watu mbalimbali Kuhusu chanjo ya UVIKO 19.

Dkt. Yango amesema hayo wakati wa ziara ya uhamasishaji chanjo tarehe 08 Julai, 2022 kwenye kikao kazi kilichofanyika katika ofisi ya Kata ya Nghumbi alipokutana na viongozi wa kata, vijiji na vitongoji.

Kauli hiyo ilikuja baada ya wananchi kubainisha vikwazo vinavyoathiri kampeni ya utoaji chanjo ya UVIKO 19 kuwa ni pamoja na upotoshaji unaofanywa na baadhi ya watu maarufu pamoja na kutafsiriwa vibaya Kwa dhana ya kuchanja kwa hiari.

Kwa Mujibu wa Mratibu wa Chanjo (W),  kwa wastani watu 4,000 wilayani pote hupatiwa chanjo kila siku, tangu kuanza kwa kampeni ya siku kumi inayotarajia kudumu hadi tarehe 15 Julai, 2022.

Dkt. Yango alifuatana na Mratibu wa chanjo (W) ndugu Cosmas Mlimira na wataalamu wengine.

Matangazo

  • Tangazo la nafasi za kazi lililohuishwa April 19, 2023
  • Fomu ya Maelekezo ya kujiunga na shule ya Sekondari ya Wasichana Kibaigwa. May 18, 2022
  • Tangazo la Ajira za kudumu nafasi 34 katika fani ya Afisa Mtendaji Daraja la III May 26, 2022
  • Kuitwa kazini Ajira za muda, Sensa ya watu na Makazi 2022. July 27, 2022
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • Washiriki UMITASHITA watakiwa kudumisha Nidhamu

    May 24, 2023
  • MCHAKATO UJENZI WA KITUO CHA KISASA CHA MICHEZO MBANDE WAANZA

    May 16, 2023
  • Ndugai awataka wananchi kuchangamkia fursa za Mafunzo VETA

    May 14, 2023
  • Serikali yashauriwa kubuni njia mbadala ya kuwasaidia Watu wenye ulemavu.

    May 04, 2023
  • Tazama Yote

Video

Serikali yashauriwa njia mbadala kuwasaidia Watu wenye ulemavu.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)
  • Bunge la Tanzania

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.