• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

Wananchi watakiwa kushirikiana na Serikali ulinzi wa miundombinu ya Miradi

Imewekwa: April 13th, 2023

Na Stephen Jackson, Kongwa

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Dkt. Selemani Jafo amewataka wananchi kushirikiana na Serikali kulinda miundombinu ya miradi ya Kuhimili mabadiliko ya Tabianchi inayotekelezwa na Shirika la FECE (Foundation for Energy Climate and Change) Kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa.

Dkt. Jafo amebainisha hayo wakati akizungumza na wananchi wa Kata za Ugogoni na Sejeli katika Kijiji cha Machenje wakati akizindua Mradi wa Josho la kuogeshea mifugo April 13, 2024 .

Akitoa taarifa kuhusu mradi huo, Afisa Mifugo Wilaya ya Kongwa Bwn. Msafiri Mkunda amesema mradi huo wa Josho lenye ujazo wa Lita elfu kumi na mbili umekamilika na shughuli za uogeshaji zinaendelea kwa asilimia tisini na wananchi kupitia kamati ya uendeshaji, wamejiwekea utaratibu maalum wa kuendesha Josho hilo kuchangia shilingi mia moja Kwa ngombe na shilingi hamsini kwa mbuzi na kondoo, fedha zinazowezesha ununuzi wa dawa.

Katika kikao baina yake na Kamati ya ulinzi na Usalama, Wakuu wa Divisheni na Vitengo na Viongozi wa shirika la FECE, amesisitiza usimamizi mzuri wa miradi Ili Serikali iweze kufikia malengo ya kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi.

Akizindua Josho la kuogeshea mifugo katika Kijiji cha Machenje, Waziri Jafo amefurahishwa na utekelezaji wa mradi huo, na hivyo ametoa maelekezo kwa wasimamizi wa mradi kukamilisha uwekaji wa miundombinu ya Maji Ili kufanikisha lengo la mradi huo.

Akizungumza mbele ya Wanakijiji wa Kijiji cha Machenje, Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Mhe. Remidius Mwema Emmanuel ameahidi kushirikiana na Viongozi wa Halmashauri kuhakikisha miradi inasimamiwa vizuri.

Naye Diwani wa Kata ya Ugogoni Mhe. Elizabeth Lenjima ameishukuru Serikali kwa kujenga mradi huo, akiamini kwamba wananchi wa Kata yake sasa watakula nyama salama inayotokana na mifugo salama.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Kijiji cha Machenje bwana Bwn. Hamis Jonasi Lechipya ameishukuru Serikali kwa ujenzi wa Josho hilo kwani limeanza kuwaletea manufaa baada ya Wananchi kukosa huduma ya kuogesha mifugo yao.


Matangazo

  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • TANGAZO LA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 16, 2024
  • Tangazo la nafasi za ajira za mkataba October 07, 2024
  • Tangazo la kufunguliwa kwa dirisha la utoaji mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu- Oktoba 1 2024 October 02, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • MGOGORO WA MPAKA CHIGWINGWILI - HOGORO KUTAFUTIWA UFUMBUZI.

    May 08, 2025
  • VIKUNDI VYASISITIZWA KUWA NA USHIRIKIANO MZURI NA VIONGOZI PAMOJA NA WATAALAM

    May 05, 2025
  • VIKUNDI 21 VYAKABIDHIWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YA HALMASHAURI

    April 28, 2025
  • DC MAYEKA AKABIDHI MISAADA

    April 27, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.