• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

Wanaopandisha bei Mahindi ya bei nafuu kuchukuliwa hatua

Imewekwa: December 20th, 2022

Na Stephen Jackson, Kongwa.

Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Mhe. Remidius Mwema Emmanuel amewaonya wananchi wanaonunua mahindi yanayouzwa na Serikali kwa bei nafuu kwa lengo la kuyauza Kwa bei ya juu kama njia mojawapo ya kujiongezea kipato.

Mhe. Mwema amesema hayo wakati wa kikao cha kamati ya Ushauri ya Wilaya (DCC) kilichofanyika Ukumbi wa chuo cha VETA Mjini Kongwa tarehe 19 Desemba, 2022.

Kupitia rai hiyo, Mhe. Mwema amesema Serikali haitosita kuwachukulia hatua wananchi wa aina hiyo kwani kufanya hivyo ni kuhujumu uchumi.

Kwa mjibu wa Mkuu wa Divisheni ya kilimo Wilaya ya Kongwa Bwana Jackson Shija, Kamati ya maafa ya Wilaya iliomba jumla ya tani 400 za mahindi kutoka kwa wakala wa hifadhi ya chakula ya Taifa, ili kupunguza mfumuko wa bei ya chakula na jumla ya tani 121.8  zimepokelewa huku tani zipatazo 90 zikiuzwa katika Kipindi kifupi.

Katika mchakato wa uuzaji wa mahindi hayo, kila mwananchi anayehitaji kununua anapaswa kufika katika maghala husika akiwa na barua ya Mtendaji wa Kijiji, na ataruhusiwa kununua kiasi kisichozidi "kilogram" hamsini.

Sambamba na hayo amekemea tabia ya uharibifu wa Mazingira inayofanywa kwenye Maeneo Mbalimbali ikiwemo utupaji taka ovyo hususani katika Barabara kuu ya Dodoma-Morogoro ambapo Msafiri yeyote atakayebainika atatozwa faini ya shilingi laki tatu.

Kikao hicho kimejadili mambo Mbalimbali ikiwemo miradi ya Serikali katika sekta Mbalimbali na kupokea maoni kutoka kwa wajumbe kwa lengo la kuboresha ufanisi.


Matangazo

  • Kuitwa kwenye Usaili Ajira za muda -TASAF December 02, 2022
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2022 December 01, 2022
  • Kuitwa kazini Ajira za Muda - TASAF December 06, 2022
  • Fomu ya Maelekezo ya kujiunga na shule ya Sekondari ya Wasichana Kibaigwa. May 18, 2022
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • Wapigwa marufuku kulima mashamba ya shule

    January 31, 2023
  • Wahofia kuchimba mabwawa kwa Mikono

    January 18, 2023
  • TAKUKURU Yaja na Programu Shirikishi

    January 19, 2023
  • Jhpiego President Congratulates Kongwa District

    January 11, 2023
  • Tazama Yote

Video

''KONGWA MMEUPIGA MWINGI''
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)
  • Bunge la Tanzania

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 737 798 222

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.