• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

Wasimamizi Miradi ya Serikali watakiwa kukuza Uwazi na Uwajibikaji

Imewekwa: April 18th, 2023

Na Stephen Jackson, Kongwa DC

Kamati za usimamizi wa miradi ya BOOST, zimetakiwa kukuza uwazi na uwajibikaji ili kufanikisha malengo ya miradi hiyo.

Hayo yameelezwa na viongozi mbalimbali wilayani Kongwa katika kikao maalumu kilichoitishwa na Mhe. Remidius Mwema Emmanuel, Mkuu wa Wilaya ya Kongwa kwa lengo la kujadili mikakati mbalimbali ya utekelezaji wa miradi ya ujenzi wa vyumba vya madarasa na matundu ya vyoo kupitia mradi wa BOOST.

Mhe. Mwema alisisitiza kamati kuzingatia taratibu na kanuni katika kuajiri mafundi ili kupunguza malalmiko.  Sanjali na hayo ameziagiza kamati kuweka kipaumbele kwa mafundi waliopo katika maeneo husika ili kuongeza mzunguko wa fedha katika maeneo hayo.

Kufuatia hatua hiyo, Mkurugenzi Mtendaji Wilaya ya Kongwa Dkt. Omary Nkullo amewataka wasimamizi wa mradi kuwashirikisha wananchi kikamilifu kwa njia ya uwazi ili kuwaondoa mashaka.

Akizungumza katika kikao hicho, Afisa elimu ya Awali na Msingi Bi. Margareth Temu alisema mradi wa  BOOST utajenga shule mpya mbili, madarasa 26, madarasa mawili ya awali, darasa moja la elimu maalum na matundu 18 ya vyoo.

Naye Kamanda wa TAKUKURU Wilaya ya Kongwa Bwana Cosmas Shauri alishauri michakato yote inayohusiana na mradi kuanza mapema ili kuharakisha mchakato wa utekelezaji.

Akitoa Rai kwa wajumbe, Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kongwa Mwalimu Abdi Mussa Matari, aliwaasa wasimamizi wa mradi kuacha ubinafsi badala yake wajielekeze kwenye uwazi na ushirikishaji.

Akichangia agenda, Kaimu katibu Tawala wilaya ya Kongwa Bi. Mamndolwa Gembe alizielekeza kamati za usimamizi miradi kuzingatia usalama wa wafanyakazi kwa kuwaepusha na mazingira hatarishi.

Akitoa shukrani zake, Diwani wa Kata ya Chiwe Mhe. Omary Mlimaoga alishauri kuwa kwenye maeneo yenye ujenzi mkubwa ni vema wakaajiriwa mafundi wengi ili kuharakisha ukamilishaji wa mradi.

Wakielezea manufaa ya kikao hicho, Mratibu wa Mradi, Bi. Gwantwa Kabunduguru na Mwalimu Sifrasi Nyakupora Afisa Elimu Kata ya Chamkoroma, wamesema kikao hicho kimewaleta pamoja wadau wote wanaohusika na utekelezaji miradi hivyo itawezesha kufuatwa kwa taratibu mbalimbali.

Matangazo

  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • TANGAZO LA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 16, 2024
  • Tangazo la nafasi za ajira za mkataba October 07, 2024
  • Tangazo la kufunguliwa kwa dirisha la utoaji mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu- Oktoba 1 2024 October 02, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • MGOGORO WA MPAKA CHIGWINGWILI - HOGORO KUTAFUTIWA UFUMBUZI.

    May 08, 2025
  • VIKUNDI VYASISITIZWA KUWA NA USHIRIKIANO MZURI NA VIONGOZI PAMOJA NA WATAALAM

    May 05, 2025
  • VIKUNDI 21 VYAKABIDHIWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YA HALMASHAURI

    April 28, 2025
  • DC MAYEKA AKABIDHI MISAADA

    April 27, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.