• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

Wasimamizi wa Miradi watakiwa kuzingatia matumizi sahihi ya fedha

Imewekwa: November 22nd, 2022

Na Mwandishi Wetu, Kongwa.

Katibu Tawala wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Fatuma Mganga amewataka wasimamizi wa Miradi Mbalimbali ya ujenzi kusimamia kikamilifu fedha zilizotolewa na Serikali ili kukamilisha miradi hiyo.

Katika Maelekezo yake, amewataka wasimamizi wote wa miradi kuhakikisha vifaa na mali ghafi za ujenzi vinanunuliwa kwa kuzingatia bei elekezi na vinatumiwa kwa umakini Ili kuwezesha miradi kukamilika.

Dkt. Mganga amesema hayo wakati wa ziara ya ukaguzi wa miradi tarehe 21 Novemba, 2022.

Akirejea ushauri wa Kitaalamu, Dkt. Mganga amezielekeza kamati za ujenzi kutumia "wall put" badala ya "gypsum powder" kumalizia kuta za Majengo, Ili kupunguza gharama huku ubora wa Majengo ukizingatiwa kwa kuweka marumaru badala ya sakafu ya kawaida, hasa kwa Vyumba vya Madarasa.

Nao wasimamizi wa Miradi Mbalimbali iliyokaguliwa wameeleza changamoto Mbalimbali zinazojitokeza kwenye utekelezaji wa Miradi, ikiwa ni pamoja na mfumuko wa bei ya vifaa vya ujenzi, na baadhi ya Maeneo jamii kuwa na ushirikiano hafifu katika kujitolea nguvu kazi na michango ya hali na mali.

Aidha amekemea vikali Matumizi mabaya ya fedha za Serikali na kwamba Serikali haitosita kuchukua hatua.

Miradi iliyokaguliwa ni pamoja na Shule ya Sekondari White Zuberi, Shule ya Sekondari wasichana Ibwaga, Shule ya Sekondari Sagara, Zahanati ya Kijiji cha Suguta Kata ya Iduo, Shule ya Sekondari Ihanda (Mlali), Kituo cha Afya Pandambili, Zahanati ya Lenjulu na Shule ya Sekondari Dr. Nkullo.

Timu hiyo ya Ukaguzi wa miradi iliyoongozwa na Katibu Tawala Mkoa aliyeambatana na wataalamu Mbalimbali wakiwemo Afisa Mipango na Mhandisi wa Mkoa, Imetoa Maelekezo Kwa wasimamizi wa miradi Mbalimbali ya ujenzi kuhakikisha inakamilika ifikapo tarehe 8 Desemba, 2022.


Matangazo

  • Kuitwa kwenye Usaili Ajira za muda -TASAF December 02, 2022
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2022 December 01, 2022
  • Kuitwa kazini Ajira za Muda - TASAF December 06, 2022
  • Fomu ya Maelekezo ya kujiunga na shule ya Sekondari ya Wasichana Kibaigwa. May 18, 2022
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • Wapigwa marufuku kulima mashamba ya shule

    January 31, 2023
  • Wahofia kuchimba mabwawa kwa Mikono

    January 18, 2023
  • TAKUKURU Yaja na Programu Shirikishi

    January 19, 2023
  • Jhpiego President Congratulates Kongwa District

    January 11, 2023
  • Tazama Yote

Video

''KONGWA MMEUPIGA MWINGI''
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)
  • Bunge la Tanzania

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 737 798 222

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.