• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

Watoto wenye ulemavu waandikishwe Shuleni

Imewekwa: October 7th, 2022


Na Benadertha Mwakilabi, Kongwa

Wazazi wilayani Kongwa wametakiwa kujitokeza kuwaandikisha kwa wingi watoto wenye umri wa kuanza darasa la kwanza bila kuwaficha wenye ulemavu ili nao wapate haki ya kusoma.

Mratibu elimu kata ya Kongwa bwana Joseph Mwanitu ameeleza hayo katika mkutano wa baraza la mamlaka ya mji mdogo Kongwa walipokutana kujadili taarifa za kamati za kudumu kwa kipindi cha robo ya kwanza kwa mwaka wa fedha 2022/2023.

Aidha Mwanitu amewataka wazazi kuwaandaa watoto waliomaliza elimu ya msingi kuingia kidato cha kwanza kwa kuwapeleka shule kipindi hiki wanaposubiri matokeo kwani ana uhakika zaidi ya asilimia 90 watafaulu vizuri.

Kwa upande wake Diwani kata ya Kongwa Mhe. White Zuberi Mwanzalila ametoa rai kwa viongozi wa Divisheni ya kilimo kuwahamasisha wakulima kufanya maandalizi mapema Ili kukabiliana na hali ya hewa.

Sanjali na hayo amewataka wananchi kuhifadhi chakula kidogo walicho nacho wakati wakijiandaa na msimu mpya wa kilimo Ili kukabiliana na kipindi cha njaa.

Naye mwenyekiti wa mamlaka ya mji mdogo Kongwa Ndugu Onesmo Semundi ametaja changamoto walizokutana nazo na kuzitatua katika kipindi hicho kuwa ni pamoja na utoro wa wanafunzi, vikundi kukopa na kutorejesha kwa wakati, wakulima kugoma kujisajili na wafugaji kugoma kupeleka mifugo katika vituo vya kuvisha hereni za kielekroniki.

Ameeleza kwamba mamlaka ya mji inatarajia kupokea Tsh 100,000,000 kwaajili ya ujenzi wa vyumba vitano vya madarasa katika shule ya sekondari White Zuberi na kuwataka wenyeviti wa vitongoji  kuanza kuchangisha michango ya mfuko wa elimu haraka ili kuongeza fedha za ujenzi huo kwani hazitoshi kuweka madawati.

Katika mwaka wa fedha 2022/2023 mamlaka imeidhinishiwa kutumia Tsh 94,084,820 na katika robo hii ya kwanza mamlaka imepokea Tsh 15,841,731.00  Kati ya fedha hizo Tsh 10,992.383.60 sawa na 11.68 asilimia imetumika kukarabati jengo la wodi ya wanaume katika hospital ya wilaya Kongwa.

Matangazo

  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • TANGAZO LA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 16, 2024
  • Tangazo la nafasi za ajira za mkataba October 07, 2024
  • Tangazo la kufunguliwa kwa dirisha la utoaji mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu- Oktoba 1 2024 October 02, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • MGOGORO WA MPAKA CHIGWINGWILI - HOGORO KUTAFUTIWA UFUMBUZI.

    May 08, 2025
  • VIKUNDI VYASISITIZWA KUWA NA USHIRIKIANO MZURI NA VIONGOZI PAMOJA NA WATAALAM

    May 05, 2025
  • VIKUNDI 21 VYAKABIDHIWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YA HALMASHAURI

    April 28, 2025
  • DC MAYEKA AKABIDHI MISAADA

    April 27, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.