Kiswahili
  • English
  • Kiswahili
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

Watumishi Kongwa, wafurahia utalii hifadhi ya Tarangire

Imewekwa: December 18th, 2023

Na Stephen Jackson, Kongwa. 

Jamii imeaswa kujenga tabia ya kutembelea hifadhi za taifa ili kukuza utalii wa ndani na  uchumi wa taifa.

Rai hiyo imetolewa na wajumbe mbalimbali wakati wa ziara ya kiutalii ya watumishi wa Divisheni ya Elimu msingi wilayani Kongwa katika hifadhi ya taifa Tarangire, iliyofanyika kwa lengo la kuwapongeza watumishi wa Divisheni hiyo kufuatia kupanda kwa ufaulu mwaka 2023.

Akizungumza na watumishi hao katika eneo la hifadhi, Afisa Elimu awali na msingi Wilaya ya Kongwa Bi. Margareth  Temu alitoa wito kwa viongozi wa mamlaka na taasisi mbalimbali kujenga tabia ya kuwapa motisha watumishi walio chini yao ikiwa ni sehemu ya kuthamini jitihada zao.

Kwa mujibu wa Bi. Temu Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa imepanda kwenye matokeo ya mitihani ya taifa ya darasa la saba kutoka ufaulu wa asilimia 78% hadi 86%
Akizungumza katika kituo cha starehe (pikiniki center) katika hifadhi hiyo, Msimamizi wa maandalizi ziara hiyo Mwalimu Syfras Nyakupora (AEK - Chamkoroma) ameishauri Mamlaka ya hifadhi kuboreha miundombinu ya Barabara ili kuwezesha magari kuipita kirahisi sambamba na kuboreha viwango vya gharama za usafiri ndani ya hifadhi vitakavyowezesha wananchi wa kipato cha chini kutembelea hifadhi.

Akizungumza kwa niaba ya uongozi wa hifadhi ya Tarangire Bwana Josephat Jackson - mwongoza utalii alisema, Katika msimu wa Masika baadhi ya wanyama huhama katika hifadhi hiyo kwa sababu za kiusalama.

Miongoni mwa wanyama walioonekana kwa Wingi msimu huu wakati wa ziara ni makundi ya tembo, twiga, swala n.k huku wanyama wala nyama kama vile Simba, chui, nyati vifaru wakiadimika na kuwaacha watalii wakihaha na kuondoka pasipo kuwaona.

Watumishi hao walipokelewa ofisi za hifadhi  hiyo Desemba 17 majira ya saa 02:30 usiku na kuendelea na shughuli za utalii katika mbuga hiyo tarehe 18 na kuondoka asubuhi ya tarehe 19 Desemba, 2023.

Matangazo

  • Tangazo la nafasi ya kazi June 13, 2025
  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • TANGAZO LA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 16, 2024
  • Tangazo la nafasi za ajira za mkataba October 07, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • MGOGORO WA MPAKA CHIGWINGWILI - HOGORO KUTAFUTIWA UFUMBUZI.

    May 08, 2025
  • VIKUNDI VYASISITIZWA KUWA NA USHIRIKIANO MZURI NA VIONGOZI PAMOJA NA WATAALAM

    May 05, 2025
  • VIKUNDI 21 VYAKABIDHIWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YA HALMASHAURI

    April 28, 2025
  • DC MAYEKA AKABIDHI MISAADA

    April 27, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.