• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

Wilaya ya Kongwa Yaadhimisha Siku ya Mtoto wa Afrika kwa Kutembelea Watoto Wenye Ulemavu

Imewekwa: June 16th, 2021

Na Stephen Jackson.

Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa kwa kushirikiana na wadau wengine, ikiwemo NMB Bank Tawi la Kongwa na “Mawia Enterprises”,  wametoa msaada kwa watoto wenye ulemavu wanaohudumiwa katika Kituo cha Kulea Watoto Walemavu cha Mlali (Mlali Rehabilitation Centre For Children) kilichopo Wilayani hapa ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika.

Kaimu Katibu Tawala wa Wilaya, Remidius Emmanuel kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Kongwa, Mhe. Dkt. Suleiman Serera, amekabidhi msaada huo mbele ya uongozi wa Kituo hicho, lengo likiwa ni kuwasaidia watoto hao na pia kuhamasisha jamii kuwajali watoto wenye mahitaji maalumu. Miongoni mwa vitu vilivyotolewa ni pamoja na vyakula, vinywaji na sabuni.

Katika tukio hili, zaidi ya vitu vyenye thamani ya TZS. 600,000/= zimetolewa na kupokelewa na Msimamizi wa kituo hicho Padri Gaudence Aikaruwa.

Kwa upande wake msimamizi huyo ametoa shukrani za dhati kwa taasisi zote zilizojitolea kuwasaidia watoto hao.

Tukio hili la kilele cha maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika limehitimishwa baada ya kufanyika kwa mikutano katika Kata 11 Wilayani hapa, ikiwa ni kwa lengo la kuhamasisha upatikanaji wa haki mbalimbali za watoto.

Jumla ya watu 2,045 wameshiriki mikutano hiyo, ambapo kati yao watoto ni 1,524 na watu wazima 581. Miongoni mwa wa wadau walioshirikiana na Halmashauri ya Kongwa katika kuandaa mikutano hiyo ni Shirika la Compassion Tanzania, World Vision, Mahakama ya Mwanzo Kongwa, na Dawati la Jinsia-Polisi Kongwa.

Maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika hufanywa na Nchi wananachama wa Umoja wa Afrika tarehe 16 Juni ya kila mwaka ili kuwakumbuka watoto takribani 2,000 waliouawa Soweto, nchini Afrika Kusini na Serikali ya Makaburu.

Kaulimbiu ya siku hii kwa mwaka 2021 ni ‘‘Tutekeleze Agenda 2040 kwa Afrika inayolinda haki za Mtoto’’.

Matangazo

  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • TANGAZO LA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 16, 2024
  • Tangazo la nafasi za ajira za mkataba October 07, 2024
  • Tangazo la kufunguliwa kwa dirisha la utoaji mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu- Oktoba 1 2024 October 02, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • MGOGORO WA MPAKA CHIGWINGWILI - HOGORO KUTAFUTIWA UFUMBUZI.

    May 08, 2025
  • VIKUNDI VYASISITIZWA KUWA NA USHIRIKIANO MZURI NA VIONGOZI PAMOJA NA WATAALAM

    May 05, 2025
  • VIKUNDI 21 VYAKABIDHIWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YA HALMASHAURI

    April 28, 2025
  • DC MAYEKA AKABIDHI MISAADA

    April 27, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.