• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

Zaidi ya Vitambulisho vya Taifa 65,000 kutolewa Wilayani Kongwa

Imewekwa: June 1st, 2023

Na. Stephen Jackson, KDC

Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Mhe. Remidius Mwema Emmanuel amezindua Zoezi la ugawaji wa Vitambulisho vya Taifa katika Wilaya ya Kongwa Juni 1, 2023.

Katika zoezi hilo Jumla ya wananchi 65,334 kati ya 120,702 waliojiandikisha watapatiwa vitambulisho  vyao huku zoezi hilo likitajwa kuwa endelevu.

Kwa mujibu wa taarifa ya (NIDA) iliyowasilishwa na Bwana Said K. Hamad, Afisa Msajili Vitambulisho vya Taifa (W), Jumla ya namba za vitambulisho vya Taifa 120,702 zimezalishwa Wilayani Kongwa na kati yake vitambulisho 100,334 vimekamilika sawa na asilimia 83% tangu kuanza kwa mpango huo.

Hadi kufikia tarehe 1 Juni 2023, Jumla ya wananchi 20,368  waliojiandikisha Wilayani Kongwa wanasubiri kukamilishiwa vitambulisho vyao huku wanufaika wapya wakiendelea kuandikishwa.

Akihutubia wananchi katika uwanja wa Amani Kibaigwa Mjini, Mhe. Mwema ametoa muda wa siku saba kwa watendaji wa mitaa, vijiji na kata kuhakikisha wananchi wote ambao vitambulisho vyao vimekamilika wanapatiwa.

Aidha ametilia mkazo suala la matumizi sahihihi ya vitambulisho hivyo, ikiwa ni njia pekee ya kufanikisha lengo la kitaifa la kuboresha utoaji huduma kwa wananchi wake.

Naye Bi. Balbina Mtui, kaimu Meneja wa udhibiti na usambazaji wa vitambulisho vya Taifa kutoka (NIDA) Makao makuu, amewataka wananchi kutambua kuwa kitambulisho cha Taifa ni nyara ya serikali hivyo kinatumiwa na mtu moja tu na ni mwiko kukitumia vinginevyo.

Amesema wananchi wenye namba za (NIDA) wanasubiri vitambulisho wanaendelea kupatiwa huduma zote muhimu sawa na walio na vitambulisho, hivyo hawapaswi kuwa na wasiwasi.

Akizungumza kwa niaba ya menejimenti ya Shirika la Posta, Afisa kutoka Shirika hilo Bwn. Stephen Kibona amewaeleza wananchi kuwa Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa (NIDA) imeingia ubia na Shirika la Posta katika zoezi la usambazaji wa vitambulisho, na Kwa kupitia mfumo wa Anwani za makazi Shirika litawafikishia hadi mahali walipo.

Kwa mujibu wa Bi.  Mtui, Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa hutoa vitambulisho aina tatu kwa lengo la  kuwatambulisha wananchi wazawa, wageni waliopo nchini na wakimbizi wanaoishi kisheria.


Matangazo

  • Majina ya mipaka ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa. October 16, 2024
  • TANGAZO LA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024. October 16, 2024
  • Tangazo la nafasi za ajira za mkataba October 07, 2024
  • Tangazo la kufunguliwa kwa dirisha la utoaji mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu- Oktoba 1 2024 October 02, 2024
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • VIKUNDI VYASISITIZWA KUWA NA USHIRIKIANO MZURI NA VIONGOZI PAMOJA NA WATAALAM

    May 05, 2025
  • VIKUNDI 21 VYAKABIDHIWA MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YA HALMASHAURI

    April 28, 2025
  • DC MAYEKA AKABIDHI MISAADA

    April 27, 2025
  • ZIARA YA MAKAMU MWENYEKITI WA CCM TAIFA MHE. WASIRA WILAYANI KONGWA.

    April 25, 2025
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Time huru ya Uchaguzi
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 713399349

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.