• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

Jengo la Kituo cha Biashara (OSBC)

Start Date: 2016-02-01
End Date: 2016-06-30

Utangulizi:

Jengo la Kituo cha Biashara ni miongoni wa miradi ya kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji unaotekelezwa katika Halmashauri ya Kongwa. Ujenzi huu ulifadhiliwa na Mradi wa Kuboresha Mazingira ya Biashara na Uwekezaji - Local Investment Climate project (LIC). Ujenzi wa mradi wa kituo cha kibiashara ulianza tarehe 1/02/2016 na kukamilika tarehe 30/6/2016 eneo la Uzunguni Kiwanja Namba 11 block A lenye ukubwa wa 1710M2 

Mradi huu umegharimu jumla ya Tshs. 101,539,912/= ambapo LIC wamegharamia ujenzi wa jengo Tshs. 67,111,000, usimamizi na ukaguzi wa ujenzi Tshs 2,384,500 na thamani za ofisini Tshs. 15,465,000, Mfumo wa utoaji huduma katika Kituo ni Tshs.12,123,912 na  mchango wa Halmashauri ni kiwanja chenye thamani ya Tshs.6,840,000. 

Watumishi Watakaotoa Huduma katika Kituo hiki (OSBC):

  • Afisa Biashara wa Wilaya.
  • Afisa wa Bank.
  • Afisa Mapato-TRA.
  • Mhasibu Mapato.
  • Afisa Mipango Miji.
  • Afisa Afya.

Lengo la Kituo:

Lengo la ujenzi wa jengo hili ni kutengeneza mazingira bora ya upatikanaji wa huduma ya leseni ya biashara kwa kuondoa mlolongo wa upatikanaji wake, pia utoaji wa taarifa mbalimbali za masoko ndani ya Wilaya na utoaji huduma ya risiti kwa njia ya kielektroniki.

Wanufaika wa mradi huu ni wafanyabiashara, wawekezaji na Halmashauri ya Wilaya.


 

Matangazo

  • Fomu ya Maelekezo ya kujiunga na shule ya Sekondari ya Wasichana Kibaigwa. May 18, 2022
  • Tangazo la Ajira za kudumu nafasi 34 katika fani ya Afisa Mtendaji Daraja la III May 26, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye Usaili August 09, 2021
  • Matokeo Darasa la Saba 2021 kwa Shule za Kongwa October 30, 2021
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • Baraza Maalumu Kongwa, lapitisha sheria Ndogo kudhibiti Sumu kuvu.

    June 02, 2022
  • ’Wanafunzi wa Madarasa ya Mitihani wapunguziwe shughuli za nyumbani’’ RC Mtaka.

    May 08, 2022
  • Watanzania watakiwa kutambua na kuthamini historia ya Wapigania Uhuru katika Eneo la Kongwa

    April 03, 2022
  • Wananchi watakiwa kufichua vitendo vya Rushwa na Ubadhirifu

    March 27, 2022
  • Tazama Yote

Video

Mwarobaini wa Mawasiliano NHC Kongwa Wapatikana
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Fomu Mbalmbali
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Miongozo
  • Miradi iliyokamilika
  • Miradi inayoendelea
  • Taarifa kwa Umma
  • Zabuni
  • Kituo cha Biashara (OSBC) Kongwa
  • Orodha ya Madiwani na Mawasiliano

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala ya Serikali Mtandao (e-GA)
  • Bunge la Tanzania

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilaya

    Anuani ya Posta: S.L.P 57 Kongwa, Dodoma

    Simu ya Mezani: +255 26 2370031

    Simu ya Mkononi: +255 737 798 222

    Barua pepe : ded@kongwadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.