• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kongwa District Council
Kongwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala
      • Mipango, Takwimu & Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Idara ya Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi & Zima moto
      • Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Ardhi
    • Madini
    • Biashara
    • Viwanda
    • Mawasiliano
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Ardhi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za TEHAMA
    • Usimamizi & Ufuatiliaji wa Miradi
    • Huduma za Ushauri na Ufundi
    • Ruzuku ya Kunusuru Kaya Masikini
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Inayoendela
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
    • Miradi iliyokamilika
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo
      • Utawala
      • Maendeleo ya Jamii
      • Nishati
  • Machapisho
    • Sheria ndogo ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
    • Majarida
    • Gazeti la Serikali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video za Shughuli za Maendeleo
  • Michezo
    • Michezo
    • Sanaa

Video za Shughuli za Maendeleo

  • Ukosefu wa Chakula Shuleni Wilayani Kongwa Mkoani Dodoma Sababu ya Ugonjwa wa Utapiamlo na Udumavu

    July 16th, 2018
  • Naibu Waziri Antony Mavunde Akizindua Kampeni ya Upandaji Miti Kongwa

    March 22nd, 2018

    Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana na Ajira Mhe Antony Mavunde amezindua rasmi kampeni ya upandaji miti Wilayani Kongwa  jana, Januari 25, 2018 katika maeneo ya chini ya safu ya milima Kiboriani eneo la Kijiji cha Ibwaga.

    Katika uzinduzi huo, Mhe Mavunde amewataka wananchi wa Kijiji cha Ibwaga kuleta mabadiliko ya kifikira katika kuufanya Mkoa wa Dodoma kuwa wa kijani kwa kupanda miti na kutunza mazingira ili kuongeza fursa za kiuchumi ikiwemo za kilimo na ufugaji wa nyuki.

    Mhe Mavunde amewataka wananchi hao wajitolee kuunda vikundi vya utunzaji wa mazingira ili viweze kufaidika na Mfuko wa Misitu Tanzania Forest Fund (TFF) unatoa ruzuku ya utunzaji wa misitu ili kuweza kujiinua katika fursa za kiuchumi ikiwemo ufugaji wa nyuki na katika mazingira hayo wanayoyatunza.

  • Rais Magufuli Akutana na Wafanyabiashara Ikulu Kusikiliza Changamoto Zao

    March 22nd, 2018

    Rais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Biashara, Dkt John Magufuli,  Machi 19, 2018, ameongoza Mkutano wa 11 wa baraza hilo, Ikulu jijini Dar es Salaam.Dhumuni la Mkutano huo ni kujadili mambo mbalimbali yanayohusu sekta ya biashara nchini, na namna ya kutatua changamoto zinazoikwamisha sekta hiyo kuendelea kuku na kupanuka kimataifa zaidi.Kauli mbiu ya baraza hilo  ni “Tanzania ya viwanda - ushiriki wa sekta binafsi”.

    Aidha mkutano huo umehudhuriwa na Wafanyabiashara Mashuhuri nchini akiwemo, Mohamed Dewji 'MO', Mkurugenzi wa IPP Reginald Mengi, Said Salim Bakhresa na wengine wengi. (Chanzo: Global TV Online)

  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • Next →

Matangazo

  • Kuitwa kwenye Usaili Ajira za muda -TASAF December 02, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MAFUNDI UJENZI (LOCAL FUNDIS)-UJENZIWA KONGWA DVTC September 16, 2019
  • KUITWA KWENYE USAILI September 30, 2019
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2020 December 10, 2019
  • Tazama Yote

Habari Mpya

  • ZOEZI LA KUKABIDHI VITAMBULISHO VYA WAFANYABIASHARA NDOGONDOGO LAZINDULIWA KONGWA.

    December 18, 2024
  • KIKAO CHA KAMATI YA USHAURI YA WILAYA (DCC) | TAREHE 11/12/2024.

    December 11, 2024
  • AMANI IWE MJADALA BILA KUJALI ITIKADI.

    December 09, 2024
  • KUELEKEA 09 DISEMBA 2024 DC KONGWA AONGOZA ZOEZI LA UPANDAJI MITI.

    December 08, 2024
  • Tazama Yote

Video

zoezi la uandikishwaji daftari la Mpiga Kura kuanza 11-20 Oktoba, 2024
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

Viunganishi Linganifu

Watembeleaji wa Dunia

world map hits counter

Rekodi ya Watembeleaji

Counter Widgets

Ramani

Wasiliana Nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti
    • Tahadhari kwenye Barua pepe

Copyright ©2022 Kongwa District Council . All rights reserved.