Imewekwa: March 6th, 2025
Wanawake wametakiwa kuzingatia malezi ya watoto kwa kuwalea watoto wote kwa pamoja bila kubagua. Wanawake pia wamekumbushwa zama za zamani ambapo kulikuwa na msemo wa, ‘mtoto wa mwenzako ni wako.’
...
Imewekwa: March 4th, 2025
Shule 130 za Msingi zilizoandikisha jumla ya wanafunzi 7986 waliofanya mtihani mwaka 2024, zimefanikisha kufaulisha idadi ya wanafunzi 7321 waliofaulu Kwenda kidato cha kwanza, sawa na asilimia 91.67 ...
Imewekwa: February 28th, 2025
Walimu wanufaika wa nyumba zilizojengwa na mfuko wa maendeleo ya Jamii Tasaf wameaswa kuzitunza nyumba hizo na kuhakikisha zinakuwa katika mazingira mazuri na nadhifu ili mradi huo uwe wenye tija kati...