Imewekwa: January 22nd, 2025
Kufuatia mgogoro wa eneo la malisho ulipo baina ya wakulima na wafugaji wa vijiji vya Manyusi na Chitego vilivyopo Kata ya Chitego wilayani Kongwa Mkuu wa Wilaya ya Kongwa Mheshimiwa Mayeka Simon Maye...
Imewekwa: January 20th, 2025
Wanafunzi 119 wenye mahitaji maalum waliopo katika kituo kilichopo Shule ya Msingi Mkoka wilayani Kongwa mkoani Dodoma wanakabiliwa na ukosefu wa vitimwendo.
Hayo yamesemwa na Bwana Furaha Mwas...
Imewekwa: January 17th, 2025
Wanafunzi wa chuo kikuu cha St John's Dodoma wametembelea Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa na kufanya usafi wa mazingira Pamoja na kutoa msaada wa mashuka 50, sabuni, maji, na viburudisho kama biskuti ...